WITO WA KUSHIRIKI KUCHANGIA UJENZI WA HOSTELI YA WANAFUNZI WA KIKE KAMPASI YA MBEYA

 

Chuo Kikuu Mzumbe kinawaalika wahitimu wake pamoja na wadau  wengine wa elimu na wapenda maendeleo kuchangia ujenzi wa Hosteli ya wanafunzi wa kike kampasi ya Mbeya. Kwa pamoja tuwe sehemu ya kuboresha maisha ya watoto wa kike.

Unaweza kutuma mchango wako moja kwa moja kupitia namba ya Malipo: 994180331310 JINA: MCC FUNDRAISING CAMPAIGN

 

Address

MBEYA CAMPUS COLLEGE
Forest Area - Mbeya City
Mzumbe University
P.O.Box  6559, Mbeya, Tanzania
Tel: +255 (0) 252502863 /57/58
Fax: +255 (0) 252502862
email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.